Habari ya leo? kulikuwa na mahojiano kati ya baba na mwanae, na mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo
BABA-Hivi mwanangu unaweza kunitajia kuna kitu kikali kama nyoka?
MTOTO- Ndio baba kitu hicho ni rushwa
BABA- no no ni nyoka, (baba alijibu hivyo kwa kuwa naye ni mla rushwa)
Friday, July 30, 2010
SASA RUSHWA IMEKUWA FASHION
Thursday, July 29, 2010
MADHARA YA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI
Tutakosa hata tone moja la maji, kwa kuwa tutawachagua viongozi walafi,wasioijali nchi
Rushwa
ni lazima jamii iwaepuke hawa watu wasio waadilifu ambao wanatukuza rushwa na kuiangamiza nchi yutu
Watazania uchaguzi umekaribia hebu sikieni vituko hivi
Rushwa imeota mizizi, hebu sikia vigogo wazito wazito walivyo nyakwa kwa rushwa
Subscribe to:
Comments (Atom)

