Friday, July 30, 2010

HABARI WAUNGWANA

Habari ya leo? kulikuwa na mahojiano kati ya baba na mwanae, na mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo
BABA-Hivi mwanangu unaweza kunitajia kuna kitu kikali kama nyoka?
MTOTO- Ndio baba kitu hicho ni rushwa
BABA- no no ni nyoka, (baba alijibu hivyo kwa kuwa naye ni mla rushwa)

No comments:

Post a Comment